YANGA YAUDUWAZA ULIMWENGU, YAVUNJA MWIKO WA WAARABU 11:52 0 Mabigwa wa ligi kuu Tanzania bara Young African Sports(YANGA) leo imeichapa Mabigwa wa Misri na Caf Al Ahly bao 1 - 0 nakujitengenezea nafasi nzuriBao la yanga lililofugwa kipindi cha pili na Nahodha Nadir Haroub "Cannavarao'' kwa mpira wa kona
0 comments:
Chapisha Maoni