11:52
0
Mabigwa wa ligi kuu Tanzania bara Young African Sports(YANGA) leo imeichapa Mabigwa wa Misri na Caf Al Ahly bao 1 - 0 nakujitengenezea nafasi nzuri
Bao la yanga lililofugwa kipindi cha pili na Nahodha Nadir Haroub "Cannavarao'' kwa mpira wa kona

0 comments:

Chapisha Maoni

rightcolbanner