STAA wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa amekuwa akipigiwa simu na mtu asiyemfahamu na kumtaka akafanye biashara ya kujiuza ‘ukahaba’ nchini China.
“Nimekuwa nikipigiwa simu mara kwa mara na mwanamke mmoja ili niende nchini China kujiuza lakini nimekuwa nikimkatalia, najitambua mimi sikubali,” alisema Jini Kabula.
0 comments:
Chapisha Maoni