03:31
0

Siku hizi wadada kuonyesha makalio yao imekuwa Dili sana tena wengine wamefanya kuwa kama ni Biashara zao za kuwaignizia kipato. sasa huyu Dada c anatafuta Mabwana za watu. ndo nini kupost Picha kama Hizi katika Wall yake katika mitandao ya kijamii?? kama sio ukahaba ni kitu gani. Tena nyie wanaume kuweni makini sana na mitandao hii maana wengi hufanya hizi ili kuwakamata watu wengi hasa mabwana za watu. kama uliwahi kusikia kwamba dada mmoja laiyekuwa akiwaambukiza watu ukimwi kwa makusudi, tena kupitia mitandao hihi ya kijamii!! Kumbuka sio kila king'aacho ni Dhahabu" pia MICHEPUKO SIO DILI BAKI NJIA KUU"

0 comments:

Chapisha Maoni

rightcolbanner