15:06
0
Muigizaji wa Bongo Movies, Salma Tamim (Sabby Angel) ambaye kwasasa anakuja kwa kasi kwenye tasnia ya uigizaji amezua gumzo kubwa sana kwenye mitandaoni ususani blogs maarufu za udaku nchini Kenya baadaya ya picha zake alizopiga akiwa hana nguo ya juu (topless) kusambaa mitandaoni ..Picha hizo alipiga kwenye phostostudio za huko nchini Kenya. Wakenya  wengi wameonekana kuvutiwa na kumsifia kwajinsi alivyo tokelezea...Jionee mwenyewe picha hizo!!!

 
 

0 comments:

Chapisha Maoni

rightcolbanner